Mama mkwe alimuuliza mkwewe “binti” samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?
Binti akajibu, “bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy”
mama mkwe hoii!! Chezea Wakwe Wa Bongo wewe.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😊🤣🔥
😂 Nacheka hadi nalia!
😆 Kali sana!
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂
Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏