*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*
*mchaga* : _chips yai bei gani?_
*mhudumu*: _elfu 2_
*mchaga* : _zina kachumbari?_
*mhudumu*: _ndio!_
*mchaga*: _kachumbari mnauzaje?_
*mhudumu*: _kachumbari ni bure._
*mchaga*: _ok basi naomba kachumbari sahani mbili, chips ziache tuuu_.๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ _SIPENDI UJINGA MIMI_๐ฅ
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐คฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! ๐
Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐๐
Hii ni ya kufurahisha sana! ๐๐
Huu ucheshi hauna kifani! ๐คฃ๐ฅ