*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*
*mchaga* : _chips yai bei gani?_
*mhudumu*: _elfu 2_
*mchaga* : _zina kachumbari?_
*mhudumu*: _ndio!_
*mchaga*: _kachumbari mnauzaje?_
*mhudumu*: _kachumbari ni bure._
*mchaga*: _ok basi naomba kachumbari sahani mbili, chips ziache tuuu_.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 _SIPENDI UJINGA MIMI_💥
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅
Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂
Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄
Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥