1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;
4. Unajaribu kufanya namba 3
6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa;
7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga!
8. Umeruka namba 5;
9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.
10. Unacheka kwa kuwa nimekubamba!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆
Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂
Napenda jokes zenu! 😊😅
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣
😄 Dhahabu ya vichekesho!