Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣 Kichekesho bora kabisa!
😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
😂 Nacheka hadi nalia!
😂 Ninashiriki mara moja!
Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏