Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na nyama nyingi tu, wakati anakula akagundua kuwa shemeji yake, mke wa rafiki yake hali nyama;
JAMAA: Aise hili ni bonge ya lanchi hii, lakini Levi mbona sisi tu tunakula nyama shemeji Gulo hagusi kabisa anaishia mchicha tu? Tabia gani hii?
LEVI: Hapana sijamkataza, ila shemeji yako Mngoni halagi nyama ya FISI kama sisi
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Hali imeboreshwa papo hapo!
๐ Kali sana!
Kweli ni jokes za ukweli! ๐๐
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! ๐
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐๐