1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha
2:Baba yako kauza ng’ombe ili alete ng’ombe mwingine shule
3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe
4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale
6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu
7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote
8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?
9:Bichwa kubwa ubongo nukta
10:Wengine hapa wamekuja kukua tu
SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Kila siku napenda jokes zenu! ππ