Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.
Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mathematics Halafu Mpo Kikundi Fulani Either Mnarudi Nyumbani Au Mnapumzika Kwa Ajili Ya Next Exam.
Unasikia Jamaa Wanabishana Pale Jibu Lilikua 4 Mwingine Anasema 5, Na Wewe Ulijaza 80.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
Nimeipenda hii joke! 😄😂
Huyu alikuwa na point! 😂👌
😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!