Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Siri ya Kuwa na Amani ya Moyoni au Rohoni

Featured Image
Ili kuwa na Amani ya Moyoni unatakiwa uishi kwa kutimiza wajibu wako wa kiroho na kidunia kama inavyotakiwa na kwa uwezo wako wote, Huku ukiwa na Matumaini ya kua kile unachokifanya kitafanikiwa, ni sahihi na umekifanya vizuri.
100 Comments

Safari ya kupata fadhila ya Unyenyekevu

Featured Image
Fadhila ya Unyenyekevu ni matunda ya Upendo na Uvumilivu kwa hiyo ili kufikia Unyenyekevu yakupasa kuwa na Upendo wa kweli kwa Mungu na Wanadamu huku ukiwa mvumilivu, Mwisho wa yote hayo utapata fadhila ya Unyenyekevu
100 Comments

Maana ya kuushinda ulimwengu

Featured Image
Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.
100 Comments

Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu: Kupokea Neema na Baraka

Featured Image
Ijumaa ni siku ya Ibada ya Novena ya Huruma ya Mungu! Kwa kupitia sala hii ya kudumu kwa siku tisa, tunapotafuta neema na baraka za Mungu, tunapata amani na ustawi wa roho zetu. Karibuni sote kushiriki katika Ibada hii ya upendo!
50 Comments

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Ukombozi na Utakaso

Featured Image
Huruma ya Mungu ni kama jua lenye nuru ya utakaso na ukombozi. Ni nguvu inayotupa tumaini na kuijaza mioyo yetu furaha isiyoelezeka.
50 Comments

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Featured Image
Huruma ya Mungu ni faraja tunayopata wakati wa majaribu na huzuni. Ni kama jua linalochomoza baada ya usiku mrefu. #Furaha #Mungu #Huruma #Faraja #Majaribu #Huzuni
50 Comments

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Featured Image
Kupokea huruma ya Mungu ni baraka kubwa sana! Ni jambo la kushukuru na kufurahia. Sisi tunapaswa kuishi kwa shukrani na ukarimu kwa sababu tumepokea mengi kutoka kwa Mungu. Ni wakati wa kushiriki neema hii na wengine kwa upendo na wema.
50 Comments

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Kufufua na Kurejesha

Featured Image
Huruma ya Mungu ni kama jua ambalo linang'aa kila siku, ikitoa nguvu ya kufufua na kurejesha maisha yetu. Kupitia huruma yake, tunaweza kusimama tena na kuendelea mbele, bila kujali magumu tuliyopitia. Asante Mungu kwa huruma yako isiyo na kikomo!
50 Comments

Mungu Anakuita Na Kukupa Nafasi Ya Kutubu Na Kumrudia Yeye Ili Akusamehe na Kukubariki

Featured Image
Unaalikwa kutubu na kumrudia Mungu kwa Moyo Wako wote na kwa nia dhabiti. Mungu atakusamehe dhambi zako na kukufanya kuwa mpya. ...Ingekuwa heri leo usikie sauti yake! Usifanye moyo wako kuwa mgumu.
100 Comments

Tofauti Wakati Wa Kukomunika Wakati Wa Kupokea Mwili Na Damu ya Yesu Kristo

Featured Image
Wakati wa Kukomunika kila mtu anampokea Yesu kwa namna alivyojiweka tayari. Vile ulivyojiandaa ndivyo na Yesu anakuja kwako.
100 Comments