Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Biblia inatuambia nini kuhusu pombe?

Featured Image

Angalizo; Tunapoongelea kuhusu pombe sio kwamba tunahamasisha kutumia pombe bali tuelewe kile tunachofanya kwa mapenzi ya Mungu!
pombe haikukataliwa ila itumike kwa kiasi.

Mhubiri 9:7
Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.

50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Featured Image
The Catholic Church and the Sacrament of Confirmation - A Joyous Celebration!
50 Comments

Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu

Featured Image
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kusamehe na kupokea msamaha katika maisha ya Kikristo?

Featured Image
Kusamehe ni baraka kubwa katika maisha ya Kikristo, na Kanisa Katoliki linatufundisha sana juu ya umuhimu wa kusamehe na kupokea msamaha. Tunapoondoa chuki na uhasama, tunapata amani na furaha isiyo na kifani. Karibu tujifunze zaidi!
50 Comments

Mafundisho Kuhusu Bikira Maria

Featured Image
50 Comments

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu?

Featured Image
Je, unajua kwamba Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha Ndoa kama sakramenti ya agano la upendo na uaminifu? Ni kweli! Hivyo kama unataka kujifunza zaidi kuhusu Ndoa na jinsi ya kuithamini katika maisha yako, basi hakuna mahali bora zaidi kuliko Kanisa Katoliki. Karibu sana!
50 Comments

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

Featured Image

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi.

50 Comments

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

Featured Image
50 Comments

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sana…
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akapona…

50 Comments

MALAIKA WA MUNGU

Featured Image
50 Comments