Updated at: 2024-05-25 15:36:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Katika maisha nimejifunza mambo mengi ikiwemo,. Kupendwa, kupenda, kusamehe, kuvumilia, lakini nimeshindwa kujifunza kukusahau wewe kwa sababu umekuwa ukinikumbuka sana.. nakutakia ASUBUHI NJEMA
Ujumbe wa kimahaba kumwambia mpenzi wako umelimisi penzi lake
Updated at: 2024-05-25 15:24:03 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwa ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz. Nakupenda kipenz cha moyo wangu.
Updated at: 2024-05-25 15:25:57 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui kwanini hutaki kukisikia changu kilio, namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu kilio, nakupenda na kama kukueleza hili nakukosea nisamehe kwani si langu kusudio,luv u mwaah.