Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Updated at: 2024-05-25 15:37:25 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Ujumbe wa kimahaba wa kumuuliza mpenzi wako anayatumiaje mapenzi
Updated at: 2024-05-25 15:23:29 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo ,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo?
SMS kali ya kimahaba kumwambia mpenzi wako unavyoogopa kwa kuwa unampenda sana
Updated at: 2024-05-25 15:22:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia, hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasa naogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosa katika maisha yangu.
Updated at: 2024-05-25 15:27:12 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu "UHALI GANI MPENZI?"
SMS ya kimahaba ya kumwambia mpenzi wako sababu ya kumpenda
Updated at: 2024-05-25 15:24:54 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
Updated at: 2024-05-25 15:35:54 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
moyo upendao kwa dhati. haujalish ni kababu au chapat. n wng wa upendo wenye tarakimu kama somo la hisabati. kumpata akupandae kwa dhati pia hyo n bahati. nimfikiriaye kwa sasa nahc anaupendo wa dhati. Nitashukuru anikaribishe naye nimuonyeshe upendo wa dhat. Huu ni ukaribisho wa penzi la dhati. wenye wing wa furaha na Lenye pendo la kitanashati.