Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!
Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinzi watoroke!
Walipofika getini wakakuta geti lipo wazi na hakuna mlinzi, wakasema
Updated at: 2023-04-29 22:53:24 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinzi watoroke!
Walipofika getini wakakuta geti lipo wazi na hakuna mlinzi, wakasema "Turudi mipango yote imevurugikaβ¦
Read more
Close
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu
Updated at: 2024-05-25 17:00:54 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,
nikaona bora niende nikamkumbatie !! kutokana na kukaa cku nyingi sijamuona! Dah! Alichonifanyia nung nung sitokisahau !!!
Read more
Close
Angalia hawa kina mama, ni shida..!
Updated at: 2024-05-25 18:10:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa anajiuliza anakwenda kufanya nini? Uzalendo ukamshinda akamuuliza "Mwenzangu, mbona kila siku mchungaji anakuja kwako, vipi anakuja kukuombea?" Akajibiwa "Nyoo, umbea tu! Mbona kwako kila siku anakuja mwanajeshi kuna vita! chefuuuu π³π³π³π³π³ πππππππππ
Read more
Close
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA
Updated at: 2024-05-25 17:47:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni; 2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;
3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi; 4. Unajaribu kufanya namba 3 6. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa; 7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga! 8. Umeruka namba 5; 9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo. 10. Unacheka kwa kuwa nimekubamba!
Read more
Close
Eti kwani wewe ni turubali?
Updated at: 2024-05-25 17:07:29 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unakuta MTU mwaka Mzima Umehudhuria, Β birthday parties 20 , Β misiba 30, Mikutano kanisani 40, Ndoa 80 na bado uko Single Kwani wewe ni turubai jaman?? πππππππππππ
Read more
Close
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?
Updated at: 2024-05-25 16:55:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri
Hakuna mwanamke yupo tayar kulalia kifua cha maskini ambacho moyo unadundaDeni,, Deni,Deni, Deni . π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πΆπ½ββ
Read more
Close
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi
Updated at: 2024-05-25 17:46:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*
*Teacher:* `Who is a pharmacist?`
*Shemdoe:* ππΏ _(raised up his hand.)_
*Teacher:* `So itβs only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? Thus, no body else to answer the question except Shemdoe?`
_(There was no reply from the students)_
*Teacher:* `Ok. now Shemdoe, chukua hii fimbo, charaza vilaza hawa wote kila mmoja viboko 3.`
*Shemdoe* _(akiwa amevimba kichwa, akawatwanga viboko vitatu vitatu vya kushiba darasa nzima)_
*Teacher:* `Now, my dear Shemdoe tell this dumb students, who a pharmacist is�`
*Shemdoe:* `Yes, sir. a Pharmacist is a farmer who assists people.`
_*Shemdoe sasa hivi amelazwa MOI kwa wataalam wa mifupa*_πππ
Read more
Close
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu π§ girlfriend wake
Updated at: 2024-05-25 17:00:07 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta jamaa anaosha vyombo kwa MAMA NTILIE. Girlfriend akamuuliza jamaa βbeby vipi mbona uko hapa?β Jamaa bila woga akajibu βNIPO FIELD. Wanaume hatupendi ujinga sisi π π π
Read more
Close
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!
Updated at: 2024-05-25 17:53:28 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.
Basi alvyotoka akamuuliza,''ehe mme wangu ulienjoy?" Mme,"ah wajinga hawa!
Wameniwekea wimbo wa taifa,nimejisaidia huku nimesimama
Read more
Close
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya
Updated at: 2024-05-25 18:11:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO MBILI,MIA TANO MOJA YA NYANYA na MIA TANO NYINGINE YA VITUNGUU sasa KAKOSEA KAZICHANGANYA HAJUI TENA IPI NI YA NYANYA na IPI NI YA VITUNGUU!!! . .
NA PESA ZOTE ANAZO KAZISHIKA MKONONI,
Read more
Close