SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???
Updated at: 2023-04-29 22:52:37 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss:- Bakariiii! Bakari:- Naam baba! Boss:- Nani anakunywa wine yangu?
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni. Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza? Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita. Bakari:Babaa! Boss: Naam Bakari! Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl? Boss:- kimyaaaa! Bakari:- Baba babaa! Boss:- Ndio Bakari! Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini? Boss:- kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!. Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi.. Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.
Mama akaenda jikoni.. Bakari: akaita mamaa Mama : bee bakari Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.? Mama kimya Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.
Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..😄😄😄😄😄
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga
Updated at: 2024-05-25 16:59:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna post Lakin mkiwa mmeenda kwa mganga siwaoni kupost mitunguli na vibuyu vya mganga unakuwa je wa zee tena. 😀😀😀😀
Updated at: 2024-05-25 17:03:18 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta usoni hapaki lakini akipita na khanga yake moja tuu nyumba inatetemeka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huu mchezo hautaki mekapu
Updated at: 2023-04-29 22:52:30 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
STORY ZA WASICHANA KTK SIM
Mary… Hallow mpenzii Lily…. Niambie my dear Mary..Pouwaa za siku jamani Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu Mary…Jioni nakuja kwako tule Na kunywa japo wine wanguu Lily…Nakusubiri kwa hamuu mpenziiii
BAADA YA KUKATA SIMU…KILA MMOJA ANAWAZA
Lily…Huyu mchawi wa kike Leo anataka kuja kwangu wala hanikuti. Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu kahaba eti nakusubir Kwa hamuu nani aende!!!
STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU
John…Niaje we mbwaa Sam…Pouwa kichaa wanguu John..Upo wap mpumbavu wewe Sam…Niko hom, we fala Uko wap? John..Baadae nakuibukia jambaz langu tukale bata Sawa… Pouwaa we ms**nge nakusubiri
BAADA YA KUKATA SIMU…KILA MMOJA ANAWAZA
John…Dah baadae nikakae na mwanangu Sam sijamuona long time Sam…John bwana akiwa Na pesa lazima anitafute mwanaeee.
FUNZO..
Baadhi ya Wasichana hujifanya wanapendana Kwa maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn WANACHUKIANA WAVULANA unaweza Kudhani hawapendani Kwa Maneno lkn WANAPENDANA..
Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana… High 👊👊👊👊👊 boys
Updated at: 2024-05-25 18:11:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
CHEKA KIDOGO
MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA. Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huku akiwa hajui kama mkewe malaya, Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondka mkewe akaanza kuingiza wanaume kama kawaida Hawara 1;nakupenda Mke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka Kabla Mume wngu hajarudi. Hawara 1;oke! Basi picha likaanza wakati wanaendelea mara mlango ukagongwa, akamwambia hawara mume wangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mke wa mvuvi akaelekea mlangon kumbe alikua hawara 2. mke wa mvuvi; aaahaa kumbe ni wewe nilijua mume wangu bas njo haraka kabla mume wangu hajarudi.. picha likaendelea huku wa darini akiona vyote, mlangon kukagongwa mke wa mvuvi; mume wangu hyo jifiche uvungun jamaa akafanya kisha mke akajikoki kumpokea mumewe, mke wa mvvi; oooh! mume wngu pole umechoka eeh leo umepata samaki mkubwa nashukuru sana tulikua hatuna mboga mvuvi;usinishukuru mimi mshukuru aliye juu. hawara 1; sipo mwenyewe mwingine yupo uvunguni…
Updated at: 2024-05-25 18:11:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib… BABA: Kwa Hasira Ebu Wacha Kuongea Na Chakula Mdomoni Wewe Mpumbavu Sana Khaa!!! MAMA: Eti Nini Hebu Endelea Mwanangu Alafu Wakafanya Nini Hawa Nguruwe… DOGO: Wakanza Kufanya Kama Vile Mlifanya Na Anko nassoro Wakati Baba Alikua Safari Za kikazi… MAMA: Kwa Hasira Babako Amesema Uwache Kuongea Na Chakula Mdomoni We Kweli Mpumbavu sana…