Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Januari kweli ngumu, soma hii

Featured Image
236 Comments

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image
236 Comments

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image
Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake: JAMAA: Shem nakupenda! MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki yako akijua? tena koma! JAMAA: Ntakupa milioni 1! MKE: Basi njoo kesho mchana mume wangu akiwa kazini!
236 Comments

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
236 Comments

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Featured Image

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Binti akajibu, "bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy"

236 Comments

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mke­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

 

236 Comments

Mjini shule. Soma hii

Featured Image
236 Comments

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 Comments

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Featured Image
236 Comments