Updated at: 2024-05-25 17:50:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na hupiga stor zote kwa kiswahil mwishon humalizia tena kwa kiingereza ' g9t
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake
Updated at: 2024-05-25 17:02:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.
Siku ya 2 akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50 akapiga chochoro za kutosha kisha akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepoteaπ³
Updated at: 2024-05-25 17:54:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma akawambia wanafunzi.
'leo tutajifunza kipindi cha dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha kwa vitendo.
Je % Ngapi unampa mwalimu kwa kusolve kibarua chake.????
Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani βͺ
Updated at: 2024-05-25 17:08:53 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie mwachie MUNGU. MTOTO akajibu Mungu hazimtoshi zile yebo ni ndogo! Usicheke,
Huu ni Mtihani Tuwapeleke Watoto KANISANI Wamjue MUNGU.
Updated at: 2024-05-25 17:17:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!! ππππππ
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
Updated at: 2024-05-25 18:05:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!