Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Featured Image
238 Comments

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 Comments

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Featured Image
237 Comments

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image
236 Comments

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Featured Image
236 Comments

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Featured Image
238 Comments

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Featured Image
Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,
236 Comments

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Featured Image
236 Comments

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Featured Image

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3. Hujapewa mbele?
4. Utapewa nyuma
5. Nitakupa nikikaa vizuri
6. Ngoja isimame nikupe

236 Comments

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Featured Image
236 Comments