Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi
Updated at: 2024-05-25 18:01:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupiga wezi mtakuja shtukia mnampiga Yesu, maana imeandikwa atakuja kama mwizi!"
Updated at: 2024-05-25 17:46:33 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MADENGE HAKOSI VISA
baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zawadi yoyote aipendayo MADENGE: naomba pesa nikamuoe bibi maana siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake. BABA: Shenzi, yule ni mama yangu mzazi huwezi kumuoa. MADENGE: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu ww inakuuma? lazima nilipize kisasi ikikuuma muache mama yangu kila mtu akae na mamayake. πππ
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.
Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",
Wakapiga magotiβ¦:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emenβ¦
Updated at: 2024-05-25 18:05:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo.
Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali",
Wakapiga magotiβ¦:
MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake.
MUME: Emenβ¦
MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko.
MUME: Emenβ¦
MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe.
MUME: Kimyaβ¦
MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana.
MUME: β¦β¦.!!
MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali.
MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe.
Chezea mawaifu walokole wewe!
Updated at: 2024-05-25 17:16:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
1) gari la kuvutwa halina overtake 2) kisigino hakikakai mbele 3) wimbo wa taifa haupgwi disko 4) feni haiwashwi beach 5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges 6) mganga haagiz tembele 7) hata bibi alikuwa bint 8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa 9) kipara bila pesa ni kovu 10) mbwa hanenepi migiuu 11) picha ya rais haina bodyguard 12) mjini shule kijiji tuition 13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon 14) heshima pesa shkamoo makelele 15) ulinz pesa bastora mzgo 16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe 17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe
Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi
Updated at: 2024-05-25 17:03:53 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
ππππππ Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu, Jamaa wakaniambia nichukue nguo nikanyooshe room kwao maana hawataki pasi yao itoke. Sasa leo amekuja mmoja wao kuazima mopper akasafishe room, nimemwambia aje adekie humu humuβ¦
Jamaa ameondoka nadhani atakua ameenda kuchukua maji π€π€π€