Updated at: 2023-04-29 22:52:30 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
STORY ZA WASICHANA KTK SIM
Maryโฆ Hallow mpenzii Lilyโฆ. Niambie my dear Mary..Pouwaa za siku jamani LilyโฆNzuri rafiki Yangu wa damu MaryโฆJioni nakuja kwako tule Na kunywa japo wine wanguu LilyโฆNakusubiri kwa hamuu mpenziiii
BAADA YA KUKATA SIMUโฆKILA MMOJA ANAWAZA
LilyโฆHuyu mchawi wa kike Leo anataka kuja kwangu wala hanikuti. Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu kahaba eti nakusubir Kwa hamuu nani aende!!!
STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU
JohnโฆNiaje we mbwaa SamโฆPouwa kichaa wanguu John..Upo wap mpumbavu wewe SamโฆNiko hom, we fala Uko wap? John..Baadae nakuibukia jambaz langu tukale bata Sawaโฆ Pouwaa we ms**nge nakusubiri
BAADA YA KUKATA SIMUโฆKILA MMOJA ANAWAZA
JohnโฆDah baadae nikakae na mwanangu Sam sijamuona long time SamโฆJohn bwana akiwa Na pesa lazima anitafute mwanaeee.
FUNZO..
Baadhi ya Wasichana hujifanya wanapendana Kwa maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn WANACHUKIANA WAVULANA unaweza Kudhani hawapendani Kwa Maneno lkn WANAPENDANA..
Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulanaโฆ High ๐๐๐๐๐ boys
Updated at: 2024-05-25 18:11:20 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!
โฆyani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips yai halafu nakupeleka bar unakunywa sana tu, tukitoka hapo nakupeleka club, Masaa yote hayo hakumbuki kuniambia upo periods hadi mdaa wakwenda kulala ndo beiby nipo kwenye siku zangu!! jamani jamaniโฆ Hapo ndo unaanza kupiga hesabu pesa iliyopotea buree๐๐๐๐
Ndooo maana mabinti wa kibongo ๐๐ป๐๐ป๐๐ป๐๐ป๐๐ป๐๐ป
Updated at: 2024-05-25 17:10:41 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari, nikaenda kumziba macho nkamuulizaย otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana NA SASA HIVI NIMEZINDUKA NIMEONA ABIRIA WOTE TUPO WODI NAMBA 3 HAPA KCMC MOSHI. ๐ค๐ค๐ค๐ค SODA ZA WAGONJWA PLIIIZ!!! ๐๐๐๐๐
Updated at: 2024-05-25 16:53:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ndoto zingine bwana usiombe zikupate
Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari Yangu aina ya BMW mpya Mara gafla ikakwama kwenye tope .hivyo ikabidi nishuke ili kuisukuma loh! Yani kudadeki ile kuamka nikakuta nimesukuma kitanda hadi sebleni Daaa ilinisikitisha sana jiangalie sana sese hivi ndio narudisha kitanda chumbani .angalizo angalia ndoto unazo ota unaweza kuota upo baharini ukaamka unajikukuta unaogelea kwenye Jaba la Maji shauri yako.
Updated at: 2024-05-25 17:52:36 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._ _Sasa hawa wauza kahawa mbona wanatembea na chombo cha moto lakini hawakamatwi ๐ก._ _Hizi sheria zinapendelea._ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Updated at: 2024-05-25 17:48:24 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
MDADA: Baby nikwambie kitu MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie MDADA: nilikua naomba hela babyโบ MKAKA: WW nae kwa kupenda hela jana tu nmekupa hela Leo unaomba ya nn ๐ MDADA: hapana๐ Bby sio hivyo nlikua nataka nikashuhudie tetemeko la ardhi BUKOBA nasikia huko linaonekana vizur . ๐๐๐๐๐๐๐๐ Wanawake kumbukeni sio vizuri