Chema na kizuri
Updated at: 2024-05-23 16:12:44 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Sio kila kizuri ni chema, lakini kila chema ni kizuri. Uzuri wa chema ni wema wake.
Read more
Close
Ushauri kwa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:40 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usimpe mtu ushauri ambao unahisi ataukubali sana, mpe mtu ushauri wenye manufaa kwake japo ni mgumu kuukubali.
Read more
Close
Kujithamanisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujithaminishe wenyewe kwa yale tunayoona tunauwezo wa kuyafanya japokuwa watu wengine wanatuthamanisha kwa yale wanayoyaona tumeshayafanya
Read more
Close
Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu
Updated at: 2024-05-23 16:12:44 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.
Read more
Close
Tamaa ni asili
Updated at: 2024-05-23 16:12:37 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tamaa ni tabia ya kiasili ya kila mtu, tofauti ya mtu na mtu ni namna ya kukabili tamaa.
Read more
Close
Mke Na Mme Kusaidiana
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Inapendeza kweli mke na Mume kusaidiana. Kusaidiana ni Kushirikiana lakini kugawana majukumu ni kupeana mzigo
Read more
Close
Kushindwa jambo sio Makosa
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kushindwa jambo sio Makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa.
Read more
Close
Vitu haviwezi kujisogeza
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kwenye dunia hii vitu haviwezi kusimama kama havijasimamishwa.
Read more
Close
Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close
Changamoto na ugumu
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (11 months ago by SW - Melkisedeck Shine)
Changamoto na ugumu wa jambo upo kwa wale wanaolifanya. Huwezi kukaa na kutazama jambo bila kulifanya na kisha kujua changamoto zake.
Read more
Close