Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
Jamaa: Una tatizo gani baby?
Mrembo: Nimetoka hospitali kupima, nna mimba.
Jamaa: Weeh usiniletee balaa hiyo mimba imeingiaje wakati huwa tunatumia kinga?
Mremboย Kwani nani kakwambia mimba ni yako, hebu tuliza mshono huo.
๐๐๐๐๐๐๐
MTATUUA
๐ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
๐ Hali imeboreshwa papo hapo!
๐๐คฃ๐๐
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐๐คฃ
Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐๐