Pale unapokuwa umefulia sana…
Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee 😂😂😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣 Sikutarajia hiyo!
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜
😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!