Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA : Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anywe
WATU : Ha! Ha! Ha! Haaaa!
JAMAA : Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wake
WATU: Watu weweeee! Tena safari hii Na makofi juu..
JAMAA : Mhudumu, nipe bili na kila mtu mpe yake maana ninapolipa bili napenda kuona kila mtu analipa yake
😂😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂
😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣
😊🤣🔥
😂 Nimeipenda kabisa hii!