*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_
*Mdukuzi:* _nikikuuliza swali unaakili ya kujibu?_
*Massai:* _ulisa acha maneno yako._
*Mdukuzi:* _nitajie wanyama kumi wa porini_
*Massai:* _swala watatu na tembo saba_ππππππππΏ
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Haha Masai noma
hahaha masai ni masai tu
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Hii kichekesho inastahili tuzo! π