*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_
*Mdukuzi:* _nikikuuliza swali unaakili ya kujibu?_
*Massai:* _ulisa acha maneno yako._
*Mdukuzi:* _nitajie wanyama kumi wa porini_
*Massai:* _swala watatu na tembo saba_😆😆😆😆😆😆👆🏿
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
hahaha masai ni masai tu
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣
Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆
Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂