Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha halafu akamuuliza “Samahani dada
unaitwa Google?”.
Dada: “hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?”. Jamaa: “Una kila kitu nnachokitafuta
“😅😃😃😃😃😃😃😃😃😃
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅
😂 Hii ni kali sana!
🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Hii imenibamba sana! 😅🤣