Posted: September 25, 2022
Mwenendo wenu na uongozwe na Roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia. Maana tamaa za kidunia hupingana na matakwa ya Roho; na matakwa ya Roho hupingana na Tamaa za kidunia. Mambo hayo mawili hayaafikiani; kwa sababu hiyo hamuwezi kufanya yale mnayotaka nyinyi wenyewe.
Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! 😂
😅😊😂👏
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
😂 Nimeipenda kabisa hii!