Posted: December 20, 2016
Kuna Zawadi moja ya Kipekee ya kumpa mtu ambayo ni Kusali na Kuomwombea Mtu aweze kuingia Mbinguni. Je, ulishawahi kutoa zawadi hii hasa kwa wale unaowapenda? Kila kitu kitabaki hapa duniani na kitapita na kusahauliwa lakini hili halina mwisho
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐
๐ Imeongezwa kwenye vipendwa!
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐
Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐คฃ๐
Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐คฃ๐