Posted: December 20, 2017
Mungu daima anawaza Mema na Anampangia Mtu Mambo mema. Kama mtu ataenda katika njia ambayo Ipo katika mipango na mapenzi ya Mungu basi atapokea yale mema Mungu aliyopanga Kwake. Lakini kama mtu ataishi kwa kufuata mapenzi yake mwenyewe basi atapoteza yale mema Aliyopangiwa.
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π