MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. ๐๐
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Umenishika vizuri!
๐คฃ Nalia kwa kicheko kweli!
Hii ni bomba sana! ๐คฃ๐
๐๐๐๐
Nimecheka kwa sauti! ๐คฃ๐คฃ