Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia wenye zawadi kushoto wasionazawadi yy hakuwa na zawadi. Mlango Wa 3 umeandikwa kulia wanawake kushoto waume akapita kushoto akajikuta ametokea mtaani
😄😄😄😄😄😄😄😄. Tujifunze kutoa wandugu
*hatupendagi ujinga sisi*
🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿🚶🏿
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣
Hii ni kali sana! 😂🤣
Ucheshi wa hali ya juu! 😂👏
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣