Mchungaji Kauliza: Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.
Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia.
Mchungaji akauliza: tueleze pingamizi lako
Kibabu kikajibu: Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.
kanisa zima hoi,
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂
😅😂👌😊
Nimefurahia sana hii joke! 😅😂
😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂