Bangi si mchezo!
Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo!
Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujitazama akaona kama kavaa suti!
then akaenda kama alivyo zaliwa kwa masela wenzake akawauliza vp suti imenikaa? Mvuta bangi mwenzie akamwambia “imekutoa kinyama ila tai umeifunga chini sana”.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😁 Hii ni dhahabu!
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆
Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣
Asante Ackyshine