Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text “mambo vipi?”…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikaona nikimjibu ni uharibifu wa hela nikaenda kumgongea mlango saa 7 usiku. Alipofungua nikamjibu “shwari”halafu nikarudi nyumbani kulala zangu..
Sipendagi kuchezea salio..
😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂👌
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!