Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.
Swali la kwanza,
Taja vyakula vi3 ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)
WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.
WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop. Swali la
2: Eleza jinsi ya kupika kila chakula ulichotaja hapo juu. (marks 99)
wacha wadada waanze kuhangaika kukata majibu ya mwanzo!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
😂🤣😊😅
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
😊😂😅👏
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆