Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari, nikaenda kumziba macho nkamuuliza otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana
NA SASA HIVI NIMEZINDUKA NIMEONA ABIRIA WOTE TUPO WODI NAMBA 3 HAPA KCMC MOSHI. 🤕🤕🤕🤕
SODA ZA WAGONJWA PLIIIZ!!! 🙏🙏🙏🙏🙏
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣🤣😄😆
Hii ni bomba sana! 🤣👍
😄 Kali sana!
Hii imenichekesha sana! 🤣😆
😂 Siwezi kuacha kucheka!