Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hivi:-
1.Jasho la nyoka.
2.Manyoya ya mende.
3.Sisimizi Shoga.
4.Mbwa mjane.
5.Kuku aliye single.
6.Samaki mwenye miaka miwili bila kuoga
7.Mti wenye ujauzito.
8.Mbavu za Nzi.
9.Nywele za Kiroboto.
10.Mwanya wa Mbu.
Duuh..!! mwanangu kwa hali hii mbona itakula kwako.
Wengine wanasemaga
IGA UFE! Rizik anagawa Mungu tu shetan simuelew!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂 Hii ni ya kuhifadhi!
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊
Nimecheka hadi machozi 🤣😭
😂 Nacheka hadi nalia!
😂 Nimeipenda kabisa hii!