Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu ýäñgù ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Me→nani mwenzangu?? Boss→we hunijui me ?? Me→usinijbu swali kwa swali Nita kublacklist sasa hiv. Sipendagi ujinga.. Kwa sasa nazurura tu mtaani na roba langu La machupa
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😄 Umenishika vizuri!
😂😂
🤣😭😆
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂