Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja,
Mhudumu: kaka nikuhudumie nini,
Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
Mhudumu: dada na wewe?
Demu akajibu kwa pozi tena kwakujishaua, “NA MIMI NILETEE MENU LIST ILA USIWEKE CHUMVI NYINGI”
Chezea mbulula wewe…!!!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣
😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
😆 Hiyo punchline!