Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu: Niambie babu
Babu: Kwenye vita ya kagera tulienda sehemu tukakamatwa wote askari na maadui wakatuambia chagueni kuuliwa au kubakwa.
Mjukuu: Sasa babu wewe ulichagua nn?
Babu: Niliuliwa!!!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Asante Ackyshine
😅 Bado ninacheka!
😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄
Sikutarajia hiyo punchline—kichekesho! 🤣