Kauli 10 za mtu asiye na malengo wala uthubutu
1)Sina mtaji
2)Sina Connection
3)Nitaanza rasmi kesho
4)Mimi ni wa hivihivi tu
5)Mifumo mibovu ya Serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
6) Mke/mme/ndugu zangu Ndiyo walioniangusha/kunitenda/kikwazo
7)Kupata ni majaliwa
8)Usilazimishe mambo
9)Kuna watu special siyo mimi.
10)Sina bahati
KAA MBALI NA HUYO MTU. NI HATARI KWA NDOTO ZAKO!!!!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Jiwekee Utaratibu utakaokuwezesha kuamua vizuri juu ya fedha utakazopata
Uhusiano uliopo kati ya pesa na muda
Nia yako isishindwe
Unashangaa kwa nini hufanikiwi?
Angalia utofauti wa mawazo ya maskini na tajiri
UKWELI KUHUSU MSHAHARA
Jinsi Muda Unavyopotea, Jifunze kitu hapa
Hofu inavyo tugharimu katika safari ya ujasiriamali na Jinsi ya kuiepuka