Dah! Safari yetu ilikuwa ngumu kweli ila hatimaye tumefika japo ni usiku sana hebu tupige hodi tusije kabwa na vibaka hapa nje. Hodiiiiii, Hodiiiii, Tunaomba tufungulie Mlango,, sisi tunaitwa FURAHA, AMANI na UPENDO. Tumebeba HEKIMA, BUSARA na MAFANIKIO. Tulikuwa wengi HURUMA na UPOLE wanakuja nyuma. CHUKI na WIVU hawana nauli. TABU ni mahututi. SHIDA yuko jela. MATATIZO amepigwa shoti ya umeme. MIKOSI amefariki njiani. LAANA ameliwa na mamba. UVIVU ameungua na maji ya moto hajiwezi. Tutakuwa nawe daima maana tumefika kwa NEEMA . Mungu akulinde na mabaya yote katika dunia hii. ucku mwema.
Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Meseji nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa wewe ndiye unayempenda wa kwanza
Meseji ya kumtumia dia wako kumuonyesha jinsi unavyompenda
Ujumbe mzuri wa mapenzi kwa umpendaye akupende zaidi
SMS ya kumuonyesha mpenzi wako jinsi anavyokupagawisha
SMS nzuri ya Sikukuu ya kuzaliwa au Birthday
SMS nzuri ya kumuomba mtu muwe wapenzi
Ujumbe wa kumsifia mpenzi wako kumwambia kuwa hakuna anayemfikia yeye
SMS ya kumtumia mpenzi wako kumshukuru kwa salamu