Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Featured Image

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya kulisoma, halafu nikajikuta nikitafakari vitu vingi sana.

Hebu kwanza tusome pamoja andiko hili

ZABURI 109

17 Naye alipenda kulaani, nako kukampata.Hakupendezwa na kubariki, kukawa mbali naye

▶Huu mstari wa 17 umenishangaza sana, halafu ukanifungua na kunifundisha vitu vya msingi sana katika haya maisha tunayoishi

Ngoja tuuchambue kidogo hapa ili tuelewane vizuri

_Alipenda kulaani?………………………….Nako (laana/kulaaniwa) kukampata_

_Hakupendezwa na kubariki……………………(Kubarikiwa) kukawa mbali nae_

NET BIBLE inasema hivii

“He loved to curse others, so those curses have come upon him, He had no desire to bless anyone, so he has experienced no blessings” Kumbe the more ninakuwa na shauku ya kuona wengine wakibarikiwa, the more baraka zinanijia mimi and vice versa

Hapa nikajifunza kwamba kumbe yale mabaya tunayowafanyia au kuwawazia watu kuna uwezekano mkubwa sana yakatupata sisi wenyewe

Na tunapotamani kubarikiwa na kuinuliwa wakati hatufurahii kuona wengine wakiinuliwa, kuinuliwa kutakuwa mbali nasi

Huu mstari unaniongezea maarifa na kunifundisha namna ya kuishi katika ulimwengu huu

Nimewaza pia inawezekana wakati mwingine kuna vitu hatupati ni kwasababu tuu hatufurahii wala hatuombi wengine wapate hivyo

Kumbe kubarikiwa kwangu kunategemea na namna ambavyo ninakuwa baraka kwa wengine na kutamani kuona wengine wakibarikiwa

Shauku yangu ya kutamani wengine wabarikiwe na kuinuliwa ndio nyenzo ya kuinuliwa kwangu na moyo mbovu wa kufurahi kuona wengine wakikwama ndio sababu ya kukwama kwangu?

_"Hii ni kanuni ya ajabu"
Ndugu yangu, unajua hapa najifunza kwamba kumbe kuna uwezekano mkubwa kwamba mikwamo mingine tumekuwa tukijikwamisha sisi wenyewe

Ni kweli ninataka kubarikiwa, lakini ni mara ngapi nimefurahi au kuombea wengine ili wabarikiwe?

Unatamani kupandishwa cheo sawa, lakini wengine wakipandishwa vyeo unanuna? Au ukiona ofisini ndio anapewa safari nyingi za nje unakasirika?

Unatamani kuoa/kuolewa halafu wengine wakioa na kuolewa unaona uchungu juu yao, unawanunia, unapunguza ukaribu?

Unatamani kupata gari zuri lakini wengine wakipata unakasirika?

Nikiwa mtoto mdogo nakumbuka mwalimu mmoja aliwahi fundisha kwamba nisipende sana kujiombea mwenyewe, na akasema kama unahitaji kitu, waombee wengine wasionacho wapate, nawe utajibiwa pia, andiko hili limenifanya nielewe kwanini mwalimu yule alifundisha vile

Na wakati mzaburi anaongea maneno haya hapa chini sikumuelewaga, nilijua ni kawaida tuu, nilisoma kikawaida tuu, lakini sasa ndio nimefunguka ufahamu zaidi

*ZABURI 35*

13 Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia. Nalijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu

Bila kujali watu walikuwa wakimuwazia na kumfanyia nini, alipowaombea tuu, maombi yale yalirejea, yalifanya kazi na katika maisha yake. Kumbe kuomba kwaajili ya wengine wafanikiwe, wainuliwe, wabarikiwe na wapandishwe kunarejesha matunda kwetu pia

Ubaya unaomfanyia mwingine si ajabu ukakupata

Kuanguka unakomuombea mwingine kutakujia wewe

Kanuni hii inanifundisha pia kuwa YESU aliposisitiza tupendane alikuwa na maana kuu

Alijua kwamba ukiwa na chuki kwa mwingine chuki ile itakuathiri wewe

Ukiwa na moyo wa kufurahi wengine wanaposhindwa, kushindwa kutakupata wewe

Kwanini sasa tusichague kubariki wengine ili baraka zile zitupate na sisi pia?

Kwanini tusiwaombee mema wengine ili maombi yale ya mema yatutendee mema sisi?
Ni vyema sasa tukachagua kuwa na moyo wa upendo, moyo utakaowawazia na kuwatendea mema wengine kwasababu mema yale tuwafanyiayo wengine yatatuletea mema maishani mwetu pia

Jipime, jiangalie, jichunguze

Waza mema kwaajili ya wengine, mema yaje kwaajili yako

MITHALI 17

13 Yeye arudishaye mabaya badala ya mema,Mabaya hayataondoka nyumbani mwake

If you love to curse others, those curses will come upon you

If you have NO desire to bless others, then you will experience NO blessings

CHOOSE TO BLESS OTHERS,BLESSING WILL FOLLOW YOU

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kawawa (Guest) on March 11, 2024

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Carol Nyakio (Guest) on September 17, 2023

Mungu akubariki!

Rose Kiwanga (Guest) on August 18, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Emily Chepngeno (Guest) on July 15, 2023

Nakuombea 🙏

Diana Mallya (Guest) on June 10, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Ruth Mtangi (Guest) on April 25, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Betty Akinyi (Guest) on April 4, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 15, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Lucy Mushi (Guest) on December 4, 2022

Dumu katika Bwana.

Martin Otieno (Guest) on November 23, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Ruth Wanjiku (Guest) on November 12, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Samson Mahiga (Guest) on November 8, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Njoroge (Guest) on October 24, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Lydia Mahiga (Guest) on September 20, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Rose Mwinuka (Guest) on August 5, 2022

Endelea kuwa na imani!

Rose Mwinuka (Guest) on May 22, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

John Malisa (Guest) on February 10, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jackson Makori (Guest) on August 24, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Jacob Kiplangat (Guest) on June 4, 2021

Rehema zake hudumu milele

Lucy Wangui (Guest) on March 18, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Alex Nakitare (Guest) on April 22, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Betty Kimaro (Guest) on October 19, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Peter Mbise (Guest) on May 25, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Esther Nyambura (Guest) on May 14, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Sarah Karani (Guest) on November 22, 2018

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Wilson Ombati (Guest) on October 7, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Catherine Mkumbo (Guest) on August 16, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Elizabeth Malima (Guest) on April 5, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Victor Malima (Guest) on April 4, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Catherine Naliaka (Guest) on February 28, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Monica Adhiambo (Guest) on January 4, 2018

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Victor Mwalimu (Guest) on October 12, 2017

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

David Kawawa (Guest) on October 3, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Njoroge (Guest) on August 6, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Stephen Kikwete (Guest) on May 20, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Jacob Kiplangat (Guest) on May 14, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Frank Macha (Guest) on April 9, 2017

Rehema hushinda hukumu

Margaret Mahiga (Guest) on April 5, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Kiwanga (Guest) on January 23, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

David Sokoine (Guest) on January 8, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joyce Mussa (Guest) on December 17, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Joseph Mallya (Guest) on December 4, 2016

Sifa kwa Bwana!

Jackson Makori (Guest) on July 3, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

David Sokoine (Guest) on April 19, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Malecela (Guest) on January 7, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lucy Mahiga (Guest) on October 17, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

John Malisa (Guest) on October 17, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Frank Sokoine (Guest) on August 27, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Francis Mrope (Guest) on June 20, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Related Posts

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili? Ji... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu wa moyo?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kutubu na kumgeukia Mungu katika wongofu ... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo duniani. Na kama madhehebu mengine ... Read More

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu familia na ndoa? Kanisa Katoliki linaamini kuwa familia n... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu viongozi wa kidini na maaskofu?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, viongozi wa kidini na maaskofu ni watu muhimu sana katika kufiki... Read More

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

Huruma ya Mungu: Mwanga katika Giza la Dhambi

  1. Kama Wakristo, tunajua kwamba Mung... Read More

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Karibu kwenye makala hii inayoeleza kuhusu huruma ya Mungu na jinsi karama hii inavyohusiana na u... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Habari za leo kwa wapenzi wa Yesu Kristo? Leo nitapenda kuzungumzia kuhusu imani ya Kanisa Katoli... Read More

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Huruma ya Mungu: Ukarimu Usiokuwa na Kikomo

Katika maisha yetu ya kila siku, tunakabiliana... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Kanisa Katoliki limekuwa likitangaza utunzaji wa mazingira kama jukumu la kikristo kwa miaka ming... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa ... Read More