Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Featured Image

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya #Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)

Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata #MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.

3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)

Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la #Rio #De #Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema #Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute"
Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.

4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.

Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, Mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata #Mungu hawezi kuizamisha"
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.

5. BON SCOTT (MUIMBAJI)

Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya
"Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'.
Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.

6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa Mtoto wake. Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa Mama, huyo #Mungu labda akae kwenye boneti la gari".
Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.

7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)

Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibayaโ€ฆkibaya na kibaya kama #Biblia"
Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.

8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)

Huyu alifuatwa na #Bill #Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simhitaji #Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu.

#share Ujumbe huu Kwa Ndugu na jamaa,ujumbe huu utawasidia kumuheshimu Mungu na kumtii.

Mungu ni pendo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Mtangi (Guest) on June 16, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Stephen Amollo (Guest) on March 7, 2024

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Ann Awino (Guest) on February 26, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Kiwanga (Guest) on January 6, 2024

Nguvu hutoka kwa Bwana

Esther Nyambura (Guest) on November 23, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

David Chacha (Guest) on November 17, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Thomas Mtaki (Guest) on October 22, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edward Lowassa (Guest) on September 29, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Rose Kiwanga (Guest) on September 26, 2023

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Elizabeth Malima (Guest) on June 7, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Edward Lowassa (Guest) on February 19, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2022

Rehema zake hudumu milele

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 18, 2022

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Lucy Kimotho (Guest) on December 12, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Thomas Mtaki (Guest) on April 7, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Christopher Oloo (Guest) on March 16, 2021

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Esther Nyambura (Guest) on January 13, 2021

Nakuombea ๐Ÿ™

Janet Mbithe (Guest) on October 26, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Benjamin Masanja (Guest) on October 7, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Kimani (Guest) on September 17, 2020

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Brian Karanja (Guest) on July 4, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Francis Njeru (Guest) on July 1, 2020

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

John Mwangi (Guest) on March 7, 2020

Sifa kwa Bwana!

Nancy Komba (Guest) on January 25, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Elizabeth Malima (Guest) on August 4, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Wilson Ombati (Guest) on June 7, 2019

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Kamau (Guest) on June 2, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Martin Otieno (Guest) on May 31, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jacob Kiplangat (Guest) on May 25, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Violet Mumo (Guest) on May 20, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Philip Nyaga (Guest) on January 21, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Diana Mumbua (Guest) on January 9, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Samuel Were (Guest) on November 8, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Janet Mwikali (Guest) on July 16, 2018

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Sharon Kibiru (Guest) on July 9, 2018

Mungu akubariki!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 17, 2018

Endelea kuwa na imani!

Margaret Mahiga (Guest) on January 5, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Rose Waithera (Guest) on October 27, 2017

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 1, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Lucy Mushi (Guest) on March 2, 2017

Dumu katika Bwana.

Janet Mwikali (Guest) on November 29, 2016

Rehema hushinda hukumu

Edward Chepkoech (Guest) on August 1, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Samuel Were (Guest) on July 1, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Jane Muthui (Guest) on March 11, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Njuguna (Guest) on December 26, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Elizabeth Malima (Guest) on September 28, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Kevin Maina (Guest) on August 2, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Carol Nyakio (Guest) on May 1, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Related Posts

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Kanisa Katoliki limekuwa likitangaza utunzaji wa mazingira kama jukumu la kikristo kwa miaka ming... Read More

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Kanuni ya Mungu kuhusu mema

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya watoto wachanga?

Katika Kanisa Katoliki, watoto wachanga ni baraka kubwa kutoka kwa Mungu. Imani yetu inaamini kuw... Read More

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Read More
Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuheshimu na kutii viongozi wa kidini na maaskofu? Jibu ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Ndio, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria... Read More

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kujiweka chini ya Huruma ya Mungu: Kuponywa na Kupatanishwa

Kila mmoja wetu amewahi kufany... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Maana ya jina Bikira Maria

Maana ya jina Bikira Maria

Read More
Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Read More
Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

MITHALI 11:12 Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.

MITHA... Read More