Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nifanyeje kuepuka vishawishi vya kujamiiana kutoka kwa watu wengine, hasa wakubwa?

Featured Image

Vijana wengi wanajikuta wanatumbukia katika matatizo mazito kama kupata mimba mapema, utoaji wa mimba, magonjwa ya zinaa pamoja na maambikizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI, kwa sababu wanapokea zawadi bila ya kujiuliza lengo la zawadi hizo.

Wanaume wengi wanatumia fedha kuwahadaa wasichana na wasichana wengine wamezoea kupata fedha hizo kukidhi mahitaji yao ya maisha. Jambo hili linaweza pia kuwapata wavulana kwani kwa maana kwamba wanawake watu wazima hujaribu kuwatongoza wavulana wadogo. Hivyo basi ni muhimu kwa wasichana na wavulana wote kwa pamoja kuwa waangalifu sana na zawadi zinazotolewa. Ni vema wakati wote ujiulize nini lengo la zawadi hiyo.

Pia fikiria kuhusu faida na hasara ya kujamiiana kila unapokutana na vishawishi mbalimbali. Ukikumbuka madhara ambayo unaweza kuyapata itakupa nguvu na msimamo wa kusema β€œhapana” na kujiepusha na vishawishi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kama Ishara ya Mapenzi?

Je, Ni Lazima Kufanya Ngono Kama Ishara ya Mapenzi?

Je, ni lazima kufanya ngono kama ishara ya mapenzi?πŸ€”

Haya, wapendwa vijana, hebu tuanze... Read More

Je, Ni Vipi Kupata Msaada wa Kielimu Kuhusu Ngono?

Je, Ni Vipi Kupata Msaada wa Kielimu Kuhusu Ngono?

Je, umewahi kujiuliza ni vipi unaweza kupata msaada wa kielimu kuhusu masuala ya ngono? Leo, tuta... Read More

Je, watu wanasema ni muhimu kuelewa na kuheshimu upendeleo wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Je, watu wanasema ni muhimu kuelewa na kuheshimu upendeleo wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?

Habari yako! Leo, tutaangazia umuhimu wa kuelewa na kuheshimu upendeleo wa kingono/kufanya mapenz... Read More

Je, ni tabia zipi zinazochangia kuenea kwa virusi vya UKIMWI?

Je, ni tabia zipi zinazochangia kuenea kwa virusi vya UKIMWI?

Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ... Read More

Vidokezo vya Kuzungumza na Msichana kwa Heshima na Upendo

Vidokezo vya Kuzungumza na Msichana kwa Heshima na Upendo

Kuzungumza na msichana kwa heshima na upendo ni kitu muhimu kwa kila kijana ambaye anataka kuwa n... Read More

Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Wakati wa... Read More

Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?

Kunyonyana ulimi kunaweza kuchangia kupata virusi vya UKIMWI?

Uwezekano wa kuambukizwa virusi vya UKIMWI kwa kunyonyana ndimi ni mdogo sana. Kwa kubadilishana ... Read More

Mahusiano ya kimapenzi kati ya msichana mwenye umri mdogo na watu wazima

Mahusiano ya kimapenzi kati ya msichana mwenye umri mdogo na watu wazima

Inawezekana kwa msichana mdogo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri mkubwa. Hata... Read More

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?

Hapana. Ualbino ni hali
inayoweza kutokea kwa
wanadamu na wanyama wa
kundi la mama... Read More

Kwa nini Albino wanawekwa katika kundi la watu wenye ulemavu?

Kwa nini Albino wanawekwa katika kundi la watu wenye ulemavu?

Ulemavu maana yake ni hitilafu katika mwili au akili inayomwekea
mipaka mtu asiweze kufaniki... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Uoga kabla ya Kufanya Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Uoga kabla ya Kufanya Ngono?

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Uoga Kabla ya Kufanya Ngono 🌟

Karibu kwenye makala hii... Read More

Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono

Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono

Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono 🌝

Karibu vijana w... Read More