Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Bikira na ubikira

Featured Image

Ubikira ni nini?: Maana halisi ya neno “bikira” ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kujamii ana hapa i ina maana kwamba uume wa mwanaume unaingia katika uke wa mwanamke.

Watu kadhaa wanasema kwamba kuwepo kwa kizinda, ambacho ni ngozi nyembamba laini i i iliyoko kwenye uke i inayokaa kama kiwambo, ndiyo ubikira. Lakini wanawake wengine huzaliwa bila kiwambo au ngozi hii , i inawezekana kwa wengine kuchanika kwa kiwambo hiki i wakati wakifanya mazoezi mazito kama vile kupanda baisikeli, kukwea miti na kadhalika. Pia, i inaweza kutokea wakati wa uchunguzi wa kiafya au tiba i inayohusisha sehemu za ndani sana ukeni. Kiwambo hiki kinatofautiana baina ya msichana na msichana.
Kwa hiyo, kizinda siyo kipimo kizuri kwa ajili ya kumtambua bikira. Njia pekee ya kumtambua bikira ni kufahamu kama mtu hajawahi kujamii ana (yaani bikira) au kama ameshajamii ana (siyo bikira). Wewe si bikira kama umewahi kushiriki ngono na utakuwa umepoteza ubikira na hamna njia ya ubikira kurudi tena, hata ukisubiri muda mrefu. Lakini hii haimaanishi wewe uendelee kufanya ngono ovyo.

The ListPages module does not work recursively.

Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?

Neno “bikira” ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwanaume.
Zamani, watu walimtambua msichana bikira kwa njia ya kuhakikisha kwamba kile kiwambo chembamba ndani ya uke kipo. Lakini kwa sababu ngozi hii huweza kuchanika kwa njia nyingine zaidi ya kujamii ana, siyo kipimo kizuri cha kumtambua msichana ambaye hajajamii ana kabisa (yaani bikira).
Katika jamii nyingi ni kawaida kuwaita `bikira` wanawake ambao hawajawahi kujamii ana. Pia, jamii nyingi wanasisitiza umuhimu wa mwanamke kuwa bikira mpaka siku ya kuolewa. Hata hivyo, neno “bikira” hutumiwa kwa wanawake na wanaume.

The ListPages module does not work recursively.

Je, mvulana atajuaje kama msichana ni bikira? Na pia, msichana anaweza kujitambua vipi kama ni bikira?

Mvulana hawezi kuthibitisha ubikira wa msichana kwa njia ya kumwangalia wala kwa njia ya kumwingilia kimwili. Hii ni kwa sababu ubikira ni kutowahi kujamii ana na hautegemei kuwepo kwa kizinda ndani ya uke. Yaani msichana ambaye hajawahi kujamii ana, lakini ambaye kizinda chake kimepasuliwa kwa sababu nyingine, bado ni bikira. Njia pekee ya kufahamu kama msichana ni bikira ni kufahamu kile alichofanya maishani, na hii , kwa kweli haiwezekani.
Msichana anaweza kujifahamu kuwa bikira kama hajawahi kujamii ana, yaani kuingiliwa kimwili na mwanaume au mvulana.
Jamii nyingi hutilia mkazo kuhusu ubikira wa wasichana wakati wa kuolewa. Lakini suala la kutofanya mapenzi mpaka siku ya kuolewa au kuoa ni muhimu kwa wote, wasichana na wavulana. Kutofanya mapenzi mpaka siku ya kuolewa kuna maana ya kujiepusha na shida zinazoweza kutokea, kama mimba isiyotarajiwa, magonjwa ya zinaa na hata maambukizi ya VVU na UKIMWI. Iwapo huwezi kustahimili ashiki ya kujamii ana, basi huna budi kuhakikisha kuwa unajikinga wewe na mpenzi wako asipate ujauzito na magonjwa kwa kutumia kondomu.

The ListPages module does not work recursively.

Kizinda ni nini na kinawezaje kuharibika

Kizinda ni kiwambo laini kinachokuwepo ndani ya uke. Kiwambo hiki kina tundu katikati i i ili kuwezesha damu ya hedhi kupita kiurahisi. Ukubwa na unene wa kiwambo hiki hutofautiana kati ya msichana na msichana. Wakati wa tendo la kwanza la ngono, huchanika na kwa wengi i i inasababisha kutokwa damu. Lakini pia inawezekana kutokuwepo na tendo la kutokwa damu. Hii ni kwa sababu kiwambo hiki kina asili ya kunyumbuka sana na wakati mwingine tundu lake ni kubwa. Inawezekana pia kuwa kiwambo hiki tayari kilikuwa kimeharibiwa na sababu nyingine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia muda mwingi katika mchezo wa hatua wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari yako rafiki, leo tutajadili kuhusu swali linaloulizwa sana kuhusu watu kwa nini wanapendel... Read More

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna vitu fulani ambavyo hupendezwa nayo katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi... Read More

Kujamiiana au kufanya mapenzi salama

Kujamiiana au kufanya mapenzi salama

Mapenzi salama ni yale yanayofanyika bila wasiwasi wa kupata mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa... Read More
Je, mtu anawezaje kuacha kutumia dawa za kulevya na itamchukua muda gani kurudia hali yake ya kawaida?

Je, mtu anawezaje kuacha kutumia dawa za kulevya na itamchukua muda gani kurudia hali yake ya kawaida?

Kitu muhimu ni kwamba, kweli uwe umedhamiria kuacha. Hatua ya kwanza ni kujiuliza kwa nini unatum... Read More

Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?

Kwa nini vijana wengine Albino wanaanza kujamiiana katika umri mdogo?

Kuna sababu nyingi ambazo zinamfanya kijana kuanza kujamiiana
katika umri mdogo. Baadhi ya s... Read More

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?

Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu... Read More

Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi

Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi

Kwa vijana mara nyingine siyo rahisi kufahamu afanye nini mara anapopata ashiki (hamu) ya kutaka ... Read More

Watu husema bia hukufanya uwe mnene, je, ni kweli?

Watu husema bia hukufanya uwe mnene, je, ni kweli?

Ni kweli kwamba baadhi ya pombe, hasa bia, husababisha
ongezeko la uzito kwa baadhi ya watu ... Read More

Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja

Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja

Kuwashirikisha wasichana katika malengo ya pamoja ni jambo muhimu sana katika jamii yetu. Wasicha... Read More

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?

Madhara ya dawa za kulevya yanadumu kwa muda gani?

Ni vigumu sana kujibu swali hili kwa sababu muda wa madhara hutegemea sababu mbalimbali kama vile... Read More

Njia za Kujenga Ukaribu wa Kiroho na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ukaribu wa Kiroho na Msichana katika Uhusiano

Kujenga ukaribu wa kiroho na msichana katika uhusiano ni jambo muhimu sana. Uhusiano wa kimapenzi... Read More

Ugumba wa mwanaume unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanaume unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanaume ni hali ya mwanaume kushindwa kumpa mwanamke mimba. Kuna mambo mengi yanayowez... Read More