Kama mama mjamzito atatumia dawa za kulevya basi humuathiri mtoto moja kwa moja. Mtoto aliye tumboni hulishwa kupitia damu ya mama yake. Kwa hiyo mama mjamzito anapotumia dawa hizo za kulevya, dawa huingia mwilini mwa mtoto anayekua. Matumizi ya dawa za kulevya pia huongeza uwezekano wa mimba kuharibika.

Je, nini kitatokea iwapo mwanamke atatumia dawa za kulevya wakati wa ujauzito?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, Ni Vipi Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono?
Je, Ni Vipi Kukabiliana na Hisia za Kutokuwa Tayari kwa Ngono? πΊ
-
Suala la his... Read More

Je, watumiaji wa dawa za kulevya wanaweza kupata watoto?
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisai... Read More

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?
Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?
Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono ππ‘οΈ
Karibu kijana... Read More

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ... Read More

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?
Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ...
Read More

Nifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono?
πNifanyeje Kupata Msaada wa Kisaikolojia Kuhusu Masuala ya Ngono? π
Habari kijana! L... Read More

Nini maana ya Ualbino?
Albino wana ngozi nyeupe, nywele nyeupe au nyekundu na macho
ya kijivu au ya bluu. Ngozi yao...
Read More

Sheria zinazohusiana na ndoa za kulazimishwa
Sheria ya msingi ya ndoa nchini Tanzania ni Sheria ya ndoa ya
Bunge, iliyopitishwa mwaka 197...
Read More

Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo, tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wa kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi. Ni... Read More

Kuna aina ngapi za dawa za kulevya?
Tunatofautisha dawa za kulevya katika makundi mawili. Zile zinazokubalika na zile zisizokubalika ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!