Kama mama mjamzito atatumia dawa za kulevya basi humuathiri mtoto moja kwa moja. Mtoto aliye tumboni hulishwa kupitia damu ya mama yake. Kwa hiyo mama mjamzito anapotumia dawa hizo za kulevya, dawa huingia mwilini mwa mtoto anayekua. Matumizi ya dawa za kulevya pia huongeza uwezekano wa mimba kuharibika.

Je, nini kitatokea iwapo mwanamke atatumia dawa za kulevya wakati wa ujauzito?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI?
Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo b... Read More

Je, wazazi ambao wote ni Albino wanaweza kupata mtoto ambaye siyo Albino?
Kwa kawaida, wazazi wote wakiwa Albino watazaa mtoto
Albino. Kwa maana hiyo basi, iwapo watu...
Read More

Jinsi ya Kuanza Mazungumzo na Msichana Unayempenda
Kuanza mazungumzo na msichana unayempenda inaweza kuwa vigumu, lakini pia inaweza kuwa jambo la k... Read More

Njia za Kusuluhisha Migogoro katika Uhusiano wako na Msichana
Wakati mwingine, migogoro katika uhusiano wako na msichana inaweza kuonekana kama jambo lisilowez... Read More

Njia za Kufanya Tarehe ya Kwanza Iwe ya Kusisimua na Msichana
Unapokwenda kwenye tarehe ya kwanza na msichana, ni muhimu sana kufikiria njia za kufanya tarehe ... Read More

Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya m... Read More

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono?
Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Thamani yangu katika Mahusiano ya Ngono? π
Asante kwa ku... Read More

Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya mara nyingi hudanganya?
Wengi wa waathirika wa dawa za kulevya hukataa matatizo yao. Hudanganya kwa sababu hawataki kukub... Read More

Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?

Je, Uvutaji wa sigara unafurahisha na kuchangamsha?
Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo ka...
Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili kuhusu upendeleo wako wa ngono/kufanya mapenzi katika uhusiano?
Upendeleo wa ngono na kufanya mapenzi ni jambo muhimu katika mahusiano yetu ya kimapenzi. Inapasw... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Mimba Pasipo Kuharibu Afya ya Mwili
Jinsi ya Kujikinga na Mimba Pasipo Kuharibu Afya ya Mwili
Leo tutajadili jinsi ya kujiking... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!