Si kweli kabisa! Baada ya kuvuta bangi mtu hujiona kama jasiri sana na mwenye nguvu. Lakini madhara ya bangi ni kinyume na matarajio ya mtumiaji kwani mishipa husinyaa na ubongo hushindwa kufanya kazi zake vyema na kutoa uamuzi usio sahihi wa utendaji sahihi wa kazi za mwili.

Je, ni kweli kwamba uvutaji wa bangi hukufanya uwe na nguvu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?
Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Je, watu wanasema ni muhimu kuelewa na kuheshimu upendeleo wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?
Habari yako! Leo, tutaangazia umuhimu wa kuelewa na kuheshimu upendeleo wa kingono/kufanya mapenz... Read More

Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Jinsi ya Kuepuka Kuingiliwa na Maswala ya Ngono katika Uhusiano
Karibu kwenye makala hii a... Read More

Kumaliza ashiki au hamu ya kufanya mapenzi
Kwa vijana mara nyingine siyo rahisi kufahamu afanye nini mara anapopata ashiki (hamu) ya kutaka ... Read More

Je, kuwa kuna mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Habari yako, mpenzi! Katika mada ya leo, tunajadili kuhusu mambo ambayo hayafai kuzungumziwa kuhu... Read More

Je, kwa nini mwanamke akigongwa na uume kwenye uke yaani juu hutoa majimaji kupitia ukeni?
Kugusana kwa kutumia viungo vya uzazi ni njia mojawapo ya kuamsha hisia ya kujamii ana. Kama mwan... Read More

Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto bila matatizo?
Ulemavu wa watu wanaoishi na ualbino hauingiliani na uwezo
wa kuweza kuzaa. Tuelewe kwamba u...
Read More

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?
Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ...
Read More

Njia ya kuzuia mimba inayofaa kwa kijana anayeanza kujamiiana
Kila njia ya kuzuia mimba ina faida na hasara zake. Kwa mfano faida ya vidonge ni kwamba kama mwa... Read More

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Wenye Furaha na Msichana
Kuwa na uhusiano wenye furaha na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anatamani. Lakini mara ny... Read More

Kwa nini mwanaume akiona mapaja ya mwanamke uume wake husimama?
Mapaja na nyonga ni sehemu ya mwili i i iliyo karibu na viungo vya uzazi vya mwanamke. Kwa sababu... Read More

Watu wanasema kuwa unaweza kupona UKIMWI kwa kujamiiana na Albino. Hii ni kweli?
Watu wanaweza kuvumisha uongo wowote ili kupotosha
ukweli na kufanya mambo yao maovu wanayoy...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!