Hapana, hii si kweli! Vijana wanaoamini kwamba wana uwezo wa kufikiri baada ya kuvuta bangi kwa sababu inawapa hisia ya kuzoea mihemko ya kusikia vizuri au kufahamu kwa haraka. Lakini ni kawaida kwamba uvutaji wa bangi unaathiri shule, kazi na shughuli nyingine kinyume na matarajio ya mafanikio. Siku zote vijana wavutaji bangi wanapoteza ari shuleni au mafunzoni. Wanashindwa kuweka malengo ya maisha yao ya baadaye.

Je, ni kweli kwamba kuvuta bangi kunaongeza akili na uwezo wa kufikiri?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts

Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapenzi ya usiku au mchana?
Leo hii, tutaongelea juu ya swali linalohusiana na ngono - Je, watu wanapenda ngono/kufanya mapen... Read More

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?
Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako?
Je, unafaa kujadili historia yako ya ngono/kufanya mapenzi na mwenza wako? Swali hili limekuwa li... Read More

Je, ni wanadamu tu ndiyo wameathirika na ualbino?
Hapana. Ualbino ni hali
inayoweza kutokea kwa
wanadamu na wanyama wa
kundi la mama...
Read More

Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye βpekuβ?
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum... Read More

Je, kuna madhara gani yatokanayo na uvutaji sigara kwa vijana hasa kijana Albino?
Kuna madhara mengi ambayo hutokana na uvutaji sigara.
Madhara mengi yanampata mvutaji kwani ...
Read More

Je, Ni Lazima Kutumia Kinga (Condom) Kila Wakati?
Je, ni lazima kutumia kinga (condom) kila wakati? π
Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu... Read More

Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?
-
Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi? Swali hili limewahi kuulizwa ma... Read More

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono?
Jinsi ya Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono πππ
Karibu... Read More

Kwa nini Albino tunaonekana kama mzigo katika familia zetu?
Watu wanaohitaji kupewa uangalizi maalumu wanaweza
kuonekana ni mzigo kwa kuwa wanaweza waka...
Read More

Njia za Kupunguza Mvutano katika Uhusiano wako na Msichana
Katika uhusiano wowote, mvutano ni jambo ambalo huwezi kuliepuka. Hata kama mna furaha nyingi pam... Read More

No comments yet. Be the first to share your thoughts!