Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jinsi ya kutumia Kondomu

Featured Image

Wakati wa kutumia kondomu ya kiume ni muhimu kufuata hatua zifuatazo. Hakikisha kwamba pakiti inayoihifadhi haijapasuka na kwamba tarehe ya kuisha muda wake haijafika.
Uume ukishadinda, fungua pakiti kwa uangalifu. Minya sehemu ya juu kutoa hewa ndani ya kondomu wakati wa kuvalisha uume, ili kuzuia kupasuka kwa kondomu wakati wa kujamiiana. Visha uume kondomu taratibu mpaka uufunike wote. Ukiwa na uhakika kwamba kondomu imevishwa inavyotakiwa, unaweza kukutana kimwili na mwanamke.
Wakati wa kutoa uume kutoka ukeni, uwe mwangalifu kwamba kondomu bado ipo sehemu inayopaswa kuwa. Baada ya kutoa uume kutoka ukeni, vua kondomu kwa uangalifu uume ukiwa bado umedinda, ili kuepuka shahawa zisimwagikie ukeni. Tupa kondomu iliyotumika kwenye choo cha shimo au uichome. Usitupe kondomu iliyotumika ovyo. Pia usitupe kondomu iliyotumika kwenye vyoo vya kisasa yaani vya kuflashi na maji.
Ukinunua β€œsalama kondomuβ€œ ndani ya pakiti, kuna maelekezo kuhusu matumizi ya kondom. Unapotaka kutumia kondom wakati wa kujamiiana, ni vizuri ukajaribisha kwanza ukiwa peke yako ili kuzoea jinsi ya kuitumia.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano?

Je, Ni Vipi Kuepuka Shinikizo la Kufanya Ngono Katika Mahusiano? 😊

Kuwa na nguvu ya kue... Read More

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti kubwa sana za kihisi... Read More

Jinsi ya Kuwa na Ukaribu wa Kihisia na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Ukaribu wa Kihisia na Msichana

Kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na msichana ni jambo zuri sana. Hata hivyo, kuwa na ukaribu wa ... Read More

Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?

Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?

  1. Je, unajiamini wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi? Swali hili limewahi kuulizwa ma... Read More

Mbinu za Kupata Tarehe na Wasichana kwa Mafanikio

Mbinu za Kupata Tarehe na Wasichana kwa Mafanikio

Leo, tunazungumzia mbinu za kupata tarehe na wasichana kwa mafanikio. Kila mtu anataka kuwa na mp... Read More

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Ni hatua zipi zinazochukuliwa na Serikali kuhusu matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya?

Serikali i i inatambua kukua kwa tatizo la dawa za kulevya nchini, kwani dawa za kulevya nyingi z... Read More

Magonjwa yatokanayo na sigara

Magonjwa yatokanayo na sigara

Kuna matatizo na magonjwa mengi na ya aina mbalimbali
unayoweza kuyapata kutokana na utuvaji... Read More

Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za umri katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti nyingi sana! Hiyo ndiyo... Read More

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Kwa nini wasichana wakiingia utu uzima damu zinaanza kutoka kwenye uke?

Kutoka damu (hedhi) kwa mara ya kwanza kunaitwa kuvunja ungo na hii ni dalili ya mtoto wa kike kuing... Read More
Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Kipekee na Ya Kusisimua na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Tarehe ya Kipekee na Ya Kusisimua na Msichana

Kila mwanaume anataka kuwa na tarehe ya kipekee na ya kusisimua na msichana. Lakini, wakati mwing... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, ni vipi naweza kupata msaada au elimu kuhusu ngono? πŸ€”πŸ“š

Wewe kama kijana mzuri na... Read More

Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano

Uhusiano ni kitu kizuri sana... Read More